KARIBU KATIKA BLOG HII YA KIFALME. KWA MAWASILIANO: +255715006977

Wednesday, April 6, 2011

PATA UHONDO...!!!

Taarifa za kuwa, mkali wa kike wa Bongo Fleva, Stara Thomas ameamua kuachana na muziki wa aina hiyo na kuanza kujihusisha na miondoko ya Injili inaonekana kuwashitua wengi, lakini ndio hivyo tena, Stara na Bongo Fleva kwa sasa ni kama chui na paka.

Hapa akiwa na mtoto wake aitwaye Jazz, katika pozi la aina yao

Jamani mmemuona nyota mpya wa Bongo Fleva huyoooo, anaitwa Linah... ni hatari lakini salama
Hebu cheki pozi lake kwanza!!!

Hapa nilikuwa namsaidia kuimba kibao 'Njiwa Peleka Salamu', hii ilikuwa ni siku moja kabla ya siku ilee zilipotolewa Tuzo za Kili pale Diamond Jubilee, 2011.

Huyu ni mmoja wa walee wakung'utaji mahiri wa gitaa zito la Besi katika kundi bingwa la mipasho, Jahazi Modern Taarab, anaitwa Shomari Zizzou akiwa kazini, katika moja ya maonyesho ya kundi lake hilo.

No comments:

Post a Comment